Taarifa Muhimu kuhusu Maadhimisho ya Siku ya Mwanaume wa Kitanzania

Lengo letu ni kuhakikisha kila Mtanzania anashiriki kikamilifu na kutoa mchango wake. Hakuna kiwango maalum cha mchango—unaweza kuchangia kiasi chochote kulingana na uwezo wako na ukishindwa bado unakaribishwa kuja Morogoro. Mchakato huu ni shirikishi na tutaamua tunasherekea Kwa namna ghani.

Tukio hili litafanyika ndani ya ukumbi (indoor event), hivyo hali ya hewa haitakuwa kikwazo. Tutatafuta ukumbi kulingana na mwitikio. Tafadhali thibitisha ushiriki wako kabla ya tarehe 11 April 2026.

Sambamba na tukio la jumla Kwa kila mtu, kutakuwepo na kongamano la kitaaluma pia. Hivyo, kwa wale wanaotamani kushiriki katika kongamano la kitaaluma katika ukumbu wa ICE, SUA, ada ya ushiriki ni Tshs 100,000 kwa siku yaani tarehe 22 April (ni 100,000) na 23 April (ni 100,000). Uko huru kushiriki siku moja au zaidi kulingana na nafasi yako.

Jiunge sasa, tuwe pamoja kuenzi na kusherehekea Maadhimisho ya Siku ya Mwanaume wa Kitanzania.

🔥🔥🔥🔥🔥Changia kiasi chochote kupitia Yas Lipa number 45884820 Kwa ushiriki wa jumla na 100,000 Kwa kongamano la kitaaluma.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *